Bumaco Insurance na Bumaco Life Washiriki Bima Walk Mkoani Arusha, Juni 19, 2025

Bumaco Insurance na Bumaco Life Washiriki Bima Walk Mkoani Arusha, Juni 19, 2025

  • Iliwekwa 19-06-2025

Arusha, Juni 19, 2025 – Kampuni za bima Bumaco Insurance na Bumaco Life leo zimethibitisha tena dhamira yao ya kujihusisha na afya ya jamii na kukuza elimu ya bima kwa kushiriki kikamilifu kwenye tukio la Bima Walk, lililofanyika jijini Arusha.

SOMA ZAIDI

Bumaco Insurance na Bumaco Life Wadhamini na Kushiriki Tamasha la Twen’zetu kwa Yesu 2025 – Corporate

Bumaco Insurance na Bumaco Life Wadhamini na Kushiriki Tamasha la Twen’zetu kwa Yesu 2025 – Corporate

  • Iliwekwa 20-06-2025

Dar es Salaam, Juni 20, 2025 – Kampuni za bima Bumaco Insurance na Bumaco Life zimejitokeza kama miongoni mwa wadhamini wakuu wa tamasha maalum la kiroho na kijamii lijulikanalo kama Twen’zetu kwa Yesu 2025 – Corporate, lililofanyika tarehe 19 Juni 2025 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

SOMA ZAIDI

Bumaco Insurance na Bumaco Life Washiriki Kikamilifu Katika Jukwaa la Nne la Ushirikishwaji wa Watanzania Katika Sekta ya Madini

Bumaco Insurance na Bumaco Life Washiriki Kikamilifu Katika Jukwaa la Nne la Ushirikishwaji wa Watanzania Katika Sekta ya Madini

  • Iliwekwa 07-06-2025

Kampuni ya Bumaco Insurance pamoja na Bumaco Life Assurance zimeshiriki kikamilifu katika Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini, lililoandaliwa na Wizara ya Madini kwa kushirikiana na wadau wa sekta hiyo.

SOMA ZAIDI

WATOTO WALIOPATA AJALI WAKITOKEA KANISANI WAPOKEA MALIPO KUTOKA BUMACO INSURANCE CO. LTD

WATOTO WALIOPATA AJALI WAKITOKEA KANISANI WAPOKEA MALIPO KUTOKA BUMACO INSURANCE CO. LTD

  • Iliwekwa 06-06-2025

Wazazi wa watoto sita waliopata ajali wakitokea kanisani, ambapo mmoja wao alifariki dunia, wamekabidhiwa malipo ya gharama za matibabu na mazishi kutoka kampuni ya Bumaco Insurance. Ajali hiyo, iliyohusisha gari aina ya Haice, ilitokea mapema mwaka huu na kusababisha huzuni kwa jamii.

SOMA ZAIDI