WADAU SEKTA YA BIMA MNAKUMBUSHWA KUCHUKUA TAHADHARI MABADILIKO YA HALI YA HEWA NCHINI JUNI - AGOSTI 2025

WADAU SEKTA YA BIMA MNAKUMBUSHWA KUCHUKUA TAHADHARI MABADILIKO YA HALI YA HEWA NCHINI JUNI - AGOSTI 2025

  • Iliwekwa 01-08-2025

TMA watoa tahadhari, wadau sekta ya bima tafadhali chukua tahadhari za hali ya hewa nchini.

SOMA ZAIDI

Mafunzo ya bima Takaful: Elimu zaidi yasisitizwa pamoja na taarifa sahihi kwa wananchi

Mafunzo ya bima Takaful: Elimu zaidi yasisitizwa pamoja na taarifa sahihi kwa wananchi

  • Iliwekwa 29-07-2025

Zanzibar, Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) kwa kushirikiana na wadau wake ambao ni TAN – RE na ATI leo jumatatu Julai 28, 2025 wamefanikisha mafunzo rasmi yahusuyo bima ya Takaful kwa watoa huduma hiyo, katika bima visiwani humo. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali.

SOMA ZAIDI

Uzinduzi wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050: Sekta ya Bima Yatajwa kuwa Nguzo Muhimu ya Ustawi wa Taifa

Uzinduzi wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050: Sekta ya Bima Yatajwa kuwa Nguzo Muhimu ya Ustawi wa Taifa

  • Iliwekwa 17-07-2025

Dodoma, Juni 2025 – Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, ambayo inalenga kuiwezesha nchi kufikia maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa misingi ya usawa, ubunifu, na ushindani wa kidijitali. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dodoma, ukihudhuriwa na viongozi wa serikali, sekta binafsi, mashirika ya kiraia na washirika wa maendeleo.

SOMA ZAIDI

BUMACO YANG’ARA KWENYE UZINDUZI WA KIJIJI CHA BIMA

BUMACO YANG’ARA KWENYE UZINDUZI WA KIJIJI CHA BIMA

  • Iliwekwa 04-07-2025

Kampuni za Bumaco Insurance Co. Ltd na Bumaco Life Insurance zimeshiriki kikamilifu katika Uzinduzi wa Kijiji cha Bima, uliofanyika siku ya Ijumaa, tarehe 4 Julai 2025, katika Viwanja vya Saba Saba – Kijiji cha Bima, kuanzia saa 3:30 asubuhi hadi 5:30 asubuhi.

SOMA ZAIDI

BUMACO YAPATA TUZO YA HESHIMA KWENYE INSURANCE DAY 2025.

BUMACO YAPATA TUZO YA HESHIMA KWENYE INSURANCE DAY 2025.

  • Iliwekwa 21-06-2025

Katika maadhimisho ya Insurance Day yaliyofanyika jijini Arusha jana Ijumaa tarehe 20 Juni 2025, kampuni ya Bumaco ilitunukiwa tuzo ya heshima kwenye Hall of Fame, tuzo ya heshima kutoka (IIT) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).

SOMA ZAIDI