Bima hii ni mahususi kwa ajili ya Nyumba za makazi na mali za ndani zinazohamishika
Mali zinazopata kinga ya Bima hii ni pamoja na:-
Hasara zinazofidiwa ni zile zitokanazo na majanga kama:-
Mkataba wa Bima hii ni wa mwaka mmoja
Ada/tozo za Bima ya Nyumba na Mali, hutegemea thamani ya ukadiriaji na tathmini inayofanyika mwanzoni mwa mkataba. Mkatabima huweza kurekebisha taarifa za thamani ya nyumba au mali za ndani, kila anapohuisha Mkataba wake wa Bima